Saturday, September 10, 2011

NANI KUNYAKUA TAJI LA VODA MISS TZ 2011?

Warembo wanaoshiriki Vodacom Miss Tanzania 2011 katika picha ya pamoja. Shindano ili linafanyika leo usiku katika ukumbi wa Mlimani City... swali kwa Watanzania wengi ni NANI KUWA MSHINDI USIKU HUU???

No comments:

Post a Comment