Vodacom Miss Tanzania 2011 Sarha Israel baada ya kutangazwa mshindi akiwa pamoja na mshindi wa pili Tracy Sospeter(kulia) na mshindi wa 3 Alexia William.
Vodacom Miss Tz 2010 aliyemaliza muda wake Genevive Mpangala akimvisha taji Vodacom Miss TZ 2011 Sarha Israel baada ya kutangazwa mshindi.
No comments:
Post a Comment