Thursday, September 15, 2011

MHE.SOPHIA SIMBA AZINDUA RASMI TWENDE

 Muanzilishi na muandaaji wa TWENDE Mustafa Hassanali akiongozana na Waziri wa maendeleo, jinsia na watoto Mhe. Sophia Simba kuelekea kwenye ufunguzi rasmi wa TWENDE.
 Mhe. Sophia Simba akihutubia kuhusiana na wanawake kwenye uzinduzi wa TWENDE.
 Mhe.Simba akitembela kati ya moja ya mabanda ya wajasiriamali wanawake katika ufunguzi wa TWENDE.
 Mmoja kati ya wajasiriamali kina mama akimpa maelezo Waziri Wa maendeleo,jinsia na watoto,Mhe. Sophia Simba,kuhusiana na bidhaa yake katika ufunguzi wa TWENDE
Baadhi ya wajasiriamali wakimulezea mmoja wa wahudhuriaji kuhusiana na bidhaa zao katika ufunguzi wa TWENDE

No comments:

Post a Comment